Ada wa Le Mans
Mandhari
Ada wa Le Mans (pia: Adeneta, Adna, Adnetta, Adonette, Adbechild, Adrehildis; aliishi karne ya 7 hivi) alikuwa abesi wa monasteri karibu na Le Mans, leo nchini Ufaransa [1][2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Dunbar, Agnes B.C. (1901). A Dictionary of Saintly Women. Juz. la 1. London: George Bell & Sons. uk. 2.
- ↑ Delaney, John J. (2005). Dictionary of Saints (tol. la 2nd). New York: Image/Doubleday. uk. 6. ISBN 978-0-385-51520-7. OCLC 58724402.
- ↑ "December 4". Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome. Iliwekwa mnamo 7 Oktoba 2024.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/59950
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |