Abili wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abili wa Aleksandria (pia: Avili, Abiti, Mili, Meli au Sabeli) alikuwa askofu wa tatu wa mji huo wa Misri (86 hivi - 11 Septemba 95)[1].

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Atiya, Aziz S. "Synaxarion, Copto-Arabic". Claremont Coptic Library. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 22 November 2016. Iliwekwa mnamo 22 November 2016.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. http://catholicsaints.info/saint-abilius-of-alexandria/

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.