Abili wa Aleksandria
Abili wa Aleksandria (pia: Avili, Abiti, Mili, Meli au Sabeli) alikuwa askofu wa tatu wa mji huo wa Misri (86 hivi - 11 Septemba 95)[1].
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Februari[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Synaxarion, Copto-Arabic. Jalada kutoka ya awali juu ya 22 November 2016. Iliwekwa mnamo 22 November 2016.
- ↑ http://catholicsaints.info/saint-abilius-of-alexandria/
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Holweck, F. G., A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
- Atiya, Aziz S. The Coptic Encyclopedia. New York: Macmillan Publishing Co., 1991. ISBN 0-02-897025-X
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |