Abakasi
Jump to navigation
Jump to search
Abakasi (kutokana na Kiingereza "abacus") ni kifaa maalumu chenye shanga kinachotumiwa kusaidia kuhesabu katika hisabati.
Huwa abakasi inatimiwa na watoto wa shule za awali kwa ajili ya somo la hisabati ili kuwarahisishia kuhesabu.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Abakasi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |