AC Milan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
A.C. Milan
association football club, association football team
Kuanzishwa16 Desemba 1899 Hariri
Jina rasmiAssociazione Calcio Milan Hariri
NicknameI Rossoneri Hariri
Ameitwa baada yaMilano Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Imeanzishwa naAlfred Edwards, Herbert Kilpin Hariri
MwenyekitiPaolo Scaroni Hariri
Board memberCarlo Biotti Hariri
NchiItalia Hariri
Kocha mkuuStefano Pioli Hariri
LigiSeria A Hariri
Mahali pa nyumbaniSan Siro Hariri
Fomu ya kisheriasocietà per azioni Hariri
Inamilikiwa naElliott Management Corporation Hariri
MmilikiMilanello, Milan TV, Centro Sportivo Vismara, Casa Milan, M-I Stadio Srl Hariri
Eneo la makao makuuMilano Hariri
Inazambazwa naGoogle Play, App Store Hariri
Historia ya madaHistory of A.C. Milan Hariri
Victory2006–07 UEFA Champions League, 2002–03 UEFA Champions League, 1993–94 UEFA Champions League, 1989–90 European Cup, 1988–89 European Cup Hariri
Msambazaji wa VifaaPuma SE Hariri
Rangi inayotambulikanyekundu, Nyeusi, rangi nyeupe Hariri
Tovutihttps://www.acmilan.com/ Hariri
Jamii ya washirikiCategory:AC Milan players Hariri

AC Milan ni timu ya mpira wa miguu iliyoanzishwa na Herbet Kilpin, Alfred Edwards, tarehe 16 Desemba 1899.

Timu hii itabakia katika historia ya timu kubwa duniani kwa kuwa imeshachukua makombe kadhaa, likiwemo kombe la ligi ya mabingwa Ulaya ya UEFA wakiwa wamelichukua mara nane na kuwa timu ya pili kwa kupata kombe hilo mara nyingi zaidi.

Uwanja wake wa nyumbani unaitwa San Siro.

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu AC Milan kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.