97
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 1 KK |
Karne ya 1
| Karne ya 2
| ►
◄ |
Miaka ya 60 |
Miaka ya 70 |
Miaka ya 80 |
Miaka ya 90
| Miaka ya 100
| Miaka ya 110
| Miaka ya 120
| ►
◄◄ |
◄ |
93 |
94 |
95 |
96 |
97
| 98
| 99
| 100
| 101
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 97 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 28 Oktoba - Kaisari Nerva wa Roma amteua Traiano kama mfuasi wake kwa kusudi la kuzuia uasi wa kijeshi.
- Koloni ya Curculum yaanzishwa na Waroma wa Kale huko Numidia - leo ni mji wa Djemila katika Aljeria.
- Halmashauri ya sanhedrini ya Jamnia pamoja na cheo cha Nasi yatambuliwa na Kaisari Nerva kama mwakilishi wa Wayahudi katika Dola la Roma.
- Jeshi la China lafika Bahari ya Kaspi likiongozwa na jemadari Ban Chao na kuanzisha ubalozi katika Parthia lakini haiendelei hadi eneo la Roma jinsi ilivyokusudiwa.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- Mnamo 97: Timotheo aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
- Mnamo 97: Tito aliyekuwa mwanafunzi wa Mtume Paulo
Wikimedia Commons ina media kuhusu: