146 KK

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala hii inahusu mwaka 146 KK (Kabla ya Kristo).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

  • mji wa Karthago unatekwa na jeshi la Roma na kuharibiwa kabisa kwa amri ya Senati ya Roma. Mwisho wa vita ya tatu dhidi ya Wafinisia na mwisho wa Dola la Karthago.
  • mji wa Korintho unatekwa na jeshi la Roma na kuharibiwa kabisa.

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]