Yukon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








Yukon

Bendera
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Whitehorse
Eneo
 - Jumla 482,443 km²
Tovuti:  http://www.gov.yk.ca/
Yukon
bendera

Yukon ni eneo kubwa la Kanada upande wa magharibi ya nchi. Imepakana na Marekani (Alaska) upande wa kaskazini-magharibi, Northwest Territories upande wa mashariki na British Kolumbia upande wa kusini.

Ina pwani fupi na Bahari ya Aktika. Sehemu kubwa ya eneo lake ni misitu tu.

Yukon lina wakazi wapatao 33,442 (2009) katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 482,443.

Whitehorse ni mji mkuu na mji mkubwa.

Kuna lugha rasmi 2: Kiingereza na Kifaransa

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Yukon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.