Nova Scotia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nova Scotia ndani ya Kanada
Bendera ya Nova Scotia

Nova Scotia (kwa Kilatini. Kiswahili: Uskoti mpya; Kiingereza: New Scotland; Kigaeli: Alba nuadh; Kifaransa: Nouvelle-Écosse) ni jimbo la Kanada upande wa mashariki ya nchi. Imepakana na New Brunswick upande wa magharibi, Bahari Atlantiki upande wa mashariki. Nova Scotia ni jimbo dogo wa pili la Kanada. Ni moja kati ya Kanada ya majimbo ya bahari 3 (Kiingereza: Maritime provinces).

Mji mkuu na mji mkubwa ni Halifax.

Jimbo lina wakazi wapatao 939,531 (2009) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 55,283.

Gavana wa jimbo ni Mayann E. Francis.

Lugha rasmi ni Kiingereza.


[hariri] Miji Mikubwa

  1. Halifax (372,679)
  2. Capre Breton (102,250)
  3. Lunenburg (25,164)

[hariri] Viungo vya Nje

Province (jimbo) of Nova Scotia Official Website


Halifax, Nova Scotia



Flag Canadian template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nova Scotia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.