Ontario

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru








Ontario

Bendera
Nchi Bendera ya Kanada Kanada
Mji mkuu Toronto
Eneo
 - Jumla 1,076,395 km²
Tovuti:  http://www.ontario.ca/
Maporomoko ya Niagara

Ontario ni jimbo (province) la Kanada upande wa Ghuba ya Hudson. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1867.

Lina eneo la km² 1,076,395. Ni jimbo kubwa la pili katika Kanada baada ya Quebec.

Limepakana na Quebec, New York, Michigan na Manitoba. Upande wa kusini kuna Ziwa Superior, Ziwa Huron, Ziwa Erie na Ziwa Ontario.

Kuna wakazi milioni kumi na tatu (13,425,124).

Mji mkuu ni Toronto ambayo pia ni mji mkubwa wa Kanada.

Lugha rasmi ni Kiingereza (de facto).

Miji Mikubwa[hariri | hariri chanzo]

  1. Toronto (5,813,149)
  2. Ottawa (1,130,761)
  3. Hamilton (692,911)
  4. London (352,395)
  5. Kitchener (451,235)

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ontario kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.