Yosefu Gabrieli wa Rozari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha halisi ya Mt. Yosefu Gabrieli uzeeni.

Yosefu Gabrieli wa Rozari (kwa Kihispania: José Gabriel del Rosario Brochero; Santa Rosa de Río Primero, Argentina, 16 Machi 1840Villa del Tránsito, Córdoba, Argentina, 26 Januari 1914) alikuwa padri aliyeugua ukoma kutokana na utume mkubwa kwa ajili ya wagonjwa na fukara[1].

Alitangazwa na Papa Fransisko kuwa mwenye heri tarehe 14 Septemba 2013, halafu mtakatifu tarehe 16 Oktoba 2016[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyozaliwa[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Blessed José Gabriel del Rosario Brochero". Saints SQPN. 1 December 2014. Iliwekwa mnamo 26 February 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Pope praises newly beatified Argentine "cowboy priest"". Catholic News Agency. 15 September 2013. Iliwekwa mnamo 22 August 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.