Vincent Ferrer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Vincent Ferrer

Vincent Ferrer (alizaliwa Valencia, Hispania, takriban 1350 – akafariki Nantes, Ufaransa tarehe 5 Aprili 1419) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mtawa wa Shirika la Wahubiri.

Alisaidia kukomesha Farakano la magharibi.

Mwaka 1455 alitangazwa na Papa Callixtus III kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 5 Aprili.

Yaliyomo

Viungo vya nje [hariri]

Hotuba zake katika tafsiri ya Kifaransa [hariri]

Vitabu juu yake [hariri]

Makala [hariri]

Christian cross.svg Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vincent Ferrer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.