Papa Callixtus III
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Callixtus III (31 Desemba, 1378 – 6 Agosti, 1458) alikuwa papa kuanzia 8 Aprili, 1455 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Alfons de Borgia. Alimfuata Papa Nikolasi V.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
