Queen Zee

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zahara Angelo (anayejulikana zaidi kwa jina la kisanii kama Queen Zee; amezaliwa 15 Mei 1993) ni msanii wa kike kutoka Sudan Kusini.[1] [2]

Mnamo 2021 alishinda tuzo ya muziki wa Sudan Kusini kupitia wimbo wake "Gelibi Gi Waja" akimshirikisha MJ.[3] [4]

Mwaka 2021 Queen Zee na wasanii wenzake wa Sudan Kusini walijiunga na taifa hilo katika kuwaombea watu walioathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini . [1]

Kukamatwa[hariri | hariri chanzo]

Zee alikamatwa Februari 2015, pamoja na watu wengine 10, kwa madai ya kushiriki katika tukio lililosababisha mauaji ya Mustafa Acuil Tito, afisa wa polisi jijini Juba. Aliachiliwa miezi 18 baadaye baada ya mahakama kuu kuwaachilia washukiwa wote wa mashtaka ya mauaji, kwa sababu ya ukosefu wa ushahidi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Review, City (2021-10-18). "Queen Zee prays for flood victims on social media". The City Review South Sudan (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-12-23. 
  2. "Women in South Sudanese music". Music In Africa (kwa Kiingereza). 2018-07-04. Iliwekwa mnamo 2022-12-22. 
  3. Shafiq, Afsheen (2012-03-27). "‘WJ’ And ‘Queen Zee’ Scoop First Ever South Sudan Music Awards | Oye! Times". www.oyetimes.com (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-12-22. 
  4. "South Sudan Musicians Raise Funds for Abyei". VOA (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-12-23. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Queen Zee kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.