Orso wa Aosta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Orso.

Orso wa Aosta (pia: Ours; karne ya 5 - 1 Februari 529) alikuwa mmonaki kutoka Ireland, padri mmisionari nchini Ufaransa, aliyeishia katika Valle d'Aosta, leo mkoa mdogo kuliko yote ya Italia.

Alipinga Uario.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa siku ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kilatini) Anonimo, Vita Beati Ursi (fine VIII sec.), raccolto in un codice dell'Abbazia di Farfa del IX-X sec.
  • (Kilatini) Anonimo, Vita Beati Ursi (seconda metà XIII sec.)
  • (Kifaransa) Jean-Ludovic Vaudan, Saint Ours in A.-P. Frutaz, Le fonti per la storia della Valle d’Aosta, Roma 1966
  • (Kifaransa) Nicolas-Joconde Arnod, Vie de Saint Ours, Chambéry, 1668
  • (Kiitalia) Elena Percivaldi, Sant'Orso, tesori e misteri, in Rivista MEDIOEVO n. 240 (gennaio 2017), pp. 94-105.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.