Mkoa wa Agnéby
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mkoa wa Agnéby |
|
| Nembo ya Cote d'Ivoire | |
| Mahali pa Mkoa wa Agnéby katika Cote d'Ivoire | |
| Anwani ya kijiografia: 05°56′N 04°13′W / 5.933°N 4.217°W | |
| Nchi | |
|---|---|
| Wilaya | 4 |
| Mji mkuu | Agboville |
| Eneo | |
| - Mkoa | 9,093 km² |
| Idadi ya wakazi (1998) | |
| - Mji | 525,211 |
| Time zone | GMT (UTC+0) |
| [1] | |
Mkoa wa Agnéby (far.: Région de l'Agnéby) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kusini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 525.211. [2] Kati ya makabila ya mkoa ni Waattie na Waabe.
Kuna wilaya 4 ambazo ni
Makao makuu yako Agboville.
Marejeo [hariri]
- ↑ Ivory Coast Cities Longitude & Latitude. sphereinfo.com. Rudishwa juu ya 18 Novemba 2010.
- ↑ Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na
|
|
|
|---|---|
| Agnéby | Bafing | Bas-Sassandra | Denguélé | Fromager | Haut-Sassandra | Lacs | Lagunes | Marahoué | Montagnes | Moyen-Cavally | Moyen-Comoé | N'zi-Comoé | Savanes | Sud-Bandama | Sud-Comoé | Vallée du Bandama | Worodougou | Zanzan | |
| +/- | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Agnéby kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |