Mashindano ya Dunia ya Chess 1892

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bingwa mtetezi Mpinzani
Wilheilm Steinitz
Wilheilm Steinitz
Mikhail Chigorin
Mikhail Chigorin
Marekani Wilhelm Steinitz Russian Empire Mikhail Chigorin
12½ 10½
Alizaliwa tarehe 14 Mei 1836
Alizaliwa tarehe 12 Novemba 1850

Mashindano ya nne ya Dunia ya Chess yalifanyika Havana kuanzia Januari 1 hadi 28 Februari 1892. Bingwa mtetezi akiwa William Steinitz akimshinda mpinzani wake Mikhail Chigorin.[1]

inajulikana kuwa mwaka 1892, Wilhelm Steinitz alikuwa bingwa wa dunia wa chess, na alikuwa ameshikilia taji hilo tangu alipoishinda mechi ya kwanza ya dunia dhidi ya Johannes Zukertort mwaka 1886. Steinitz alikuwa mwanasayansi wa chess na alisaidia kuanzisha misingi ya mchezo huo kama inavyojulikana leo.

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Pachman, Ludĕk (1972) [English trans. 1975, Dover ed. 1987], Decisive Games in Chess History, Dover, ku. 1–2, ISBN 0-486-25323-6 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mashindano ya Dunia ya Chess 1892 kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.