Maria Maajabu wa Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi kama mtawa.

Maria Maajabu wa Yesu, O.C.D. (Madrid, Hispania, 4 Novemba 1891 - La Aldehuela, 11 Desemba 1974) alikuwa mmonaki bikira anayeheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu bikira.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 10 Mei 1998 akamtangaza mtakatifu tarehe 4 Mei 2003.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.