Mac Cairthinn wa Clogher

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Mac Cairthinn na Tigernach wa Clones katika dirisha la kioo cha rangi.

Mac Cairthinn wa Clogher (pia: Aedh, Aidus, McCartan, Macartan; alifariki 506) alikuwa askofu wa kwanza wa Clogher, Eire kuanzia mwaka 454[1].

Inasemekana aliongokea Ukristo kwa juhudi za Patrick wa Ireland.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.