Lusia Yi Zhenmei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Lusia Yi Zhenmei (Mainyang, 17 Januari 1815 - Kaiyang 19 Februari 1862) alikuwa bikira katekista wa China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya kifodini chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.