1862
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1859 1860 1861 - 1862 - 1863 1864 1865 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 28 Machi - Aristide Briand (Waziri Mkuu wa Ufaransa na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)
- 2 Aprili - Nicholas Butler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931)
- 5 Juni - Allvar Gullstrand (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1911)
- 7 Juni - Philipp Lenard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905)
- 2 Julai - William Henry Bragg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1915)
- 29 Agosti - Maurice Maeterlinck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1911)
- 4 Septemba - Carl Velten (mkusanyaji wa hadithi za Kiswahili)
- 25 Septemba - Billy Hughes (Waziri Mkuu wa Australia)
- 6 Oktoba – Albert Beveridge (mwanasiasa wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1920)
- 15 Novemba - Gerhart Hauptmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1912)
[hariri] Waliofariki
- 18 Januari - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 24 Julai - Martin Van Buren, Rais wa Marekani (1837-1841)

