Fridolini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sura yake katika bendera ya Glarus, Uswisi.

Fridolini wa Säckingen (alifariki karne ya 6 au karne ya 7) alikuwa mmonaki mmisionari kutoka Ireland, maarufu kwa kuinjilisha kabila la Waalamani na kuanzisha monasteri mbili huko Säckingen katika nchi ya Ujerumani ya leo baada ya kuzunguka sehemu mbalimbali za Ufaransa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 6 Machi[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.