Famiano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Famiano.

Famiano (Koln, Ujerumani, 1090 - Gallese, Italia, 8 Agosti 1150) alikuwa mkaapweke ambaye alihiji Roma, Santiago de Compostela, Nchi takatifu na sehemu nyingine nyingi[1].

Katika safari zake alipewa upadirisho na kujiunga na wamonaki Wasitoo [2].

Alitangazwa mtakatifu na Papa Adrian IV mwaka 1155[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Goffredo Mariani, BSS, vol. V (1964), col. 449.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90937
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kiitalia) Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.