Edward Muungamaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mtakatifu Edward Muungamaji, Mfalme wa Uingereza

Edward Muungamadini (kwa Kiingereza huitwa Edward the Confessor: takriban 10035 Januari, 1066) alikuwa mfalme wa Uingereza kuanzia mwaka 1042 hadi kifo chake.

Kama mfalme hakuwa na nguvu ya kutawala lakini maisha yake ya Kikristo yalikuwa mfano mwema kabisa.

Mwaka 1161 alitangazwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 13 Oktoba.

Christian cross.svg Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Edward Muungamaji kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.