Brigo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Brigo alivyochorwa.

Brigo (pia: Brigomaglos; Brieg; Briog; Breock; Briocus; Brieuc; Ceredigion, Wales, karne ya 5 - St. Brieuc-des-Vaux, Bretagne, leo nchini Ufaransa, 502 hivi) alikuwa padri na mmisionari nchini kwake, halafu mwanzilishi wa monasteri na askofu huko Bretagne[1] [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.