Bili wa Vannes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bili wa Vannes (au Bille, Bily au Bilius; alizaliwa karne ya 9 - alifariki 915/919) alikuwa askofu wa 31 wa Vannes, Bretagne (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 892 hivi hadi kifodini chake kinachosemekana kilimpata kwa mikono ya Wavikingi walipoangamiza mji huo [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.