Bertino wa Sithieu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bertino alivyochorwa.

Bertino wa Sithieu (Konstanz, leo nchini Ujerumani, 615 - Therouanne, leo nchini Ufaransa, 698 hivi) alikuwa mmonaki wa Kanisa Katoliki, mwanafunzi wa Kolumbani.

Pamoja na Momelini alianzisha monasteri iliyovutia miito mingi akafanya umisionari mkubwa Kaskazini mwa Ufaransa[1] [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.