Benedikto wa Milano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Benedikto wa Milano.

Benedikto wa Milano (kwa Kiitalia: Benedetto Crispo; alifariki Milano, Italia, 725) alikuwa askofu wa 41 wa mji huo kuanzia mwaka 681[1][2] [3] [4].

Sifa ya uadilifu wake ilikwisha kuenea kote Italia wakati wa uhai wake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Machi[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/44540
  2. Cazzani, Eugenio (1996). Vescovi e arcivescovi di Milano (kwa Italian). Milano: Massimo. ku. 57–58. ISBN 88-7030-891-X. 
  3. Casari, Mario (1987). "Benedetto, santo" (in Italian). Dizionario della Chiesa Ambrosiana. 1. Milano: NED. p. 392. ISBN 88-7023-102-X .
  4. Magnoli, Claudio, mhariri (2010). Celebrazioni dei santi. Messale ambrosiano quotidiano (kwa Italian) 4. Milano: Centro Ambrosiano. uk. 747. ISBN 978-88-8025-763-9. 
  5. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.