Bega wa Cumbria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bega katika dirisha la kioo cha rangi.

Bega wa Cumbria (aliishi Ireland na Uingereza karne ya 9) alikuwa bikira anayesemekana kuanzisha monasteri [1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.