Artemi na Paulina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Artemi na Paulina mbele ya Wat. Marselino na Petro katika mchoro mdogo wa karne ya 15.

Artemi na Paulina ni Wakristo waliouawa mwaka 304 kwa ajili ya imani yao mjini Roma[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 6 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.