Agrikola wa Avignon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Agrikola katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa lake huko Avignon.

Agrikola wa Avignon (pia: Agricol, Agricola, Agricolus; 630 hivi - 700 hivi) alikuwa askofu wa 11 wa Avignon, Provence (leo nchini Ufaransa) tangu mwaka 660 hadi kifo chake.

Kisha kuishi kama mmonaki huko Lerins tangu umri wa miaka 16 hadi 30, alikwenda kumsaidia baba yake, Magnus, askofu wa Avignon, akawa mwandamizi wake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Elizabeth Hallam (ed.), Saints: Who They Are and How They Help You (New York: Simon & Schuster, 1994), 100.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.