Yuya Osako

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yuya Osako akiwa kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2018.

Yuya Osako (大迫 勇也; amezaliwa 18 Mei 1990) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Kijapani ambaye anachezea kwa Werder Bremen na timu ya taifa ya Japani kama mshambuliaji.

Osako alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya Japani tarehe 21 Julai 2013 dhidi ya China. Osako alicheza Japani katika mechi 45, akifunga mabao 15.[1]

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

[1]

Timu ya Taifa ya Japani
Mwaka Mechi Magoli
2013 6 3
2014 6 0
2015 3 0
2016 2 2
2017 8 2
2018 12 3
2019 8 5
Jumla 45 15

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Yuya Osako at National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yuya Osako kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.