Nenda kwa yaliyomo

Yusuke Omae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yusuke Omae (大前 祐介, Ōmae Yūsuke,alizaliwa 6 Aprili 1982 huko Tokyo) ni mwanariadha mstaafu nchini Japani ambaye alibobea katika mbio za mita 200,ubora wake wa kibinafsi katika hafla hiyo ni sekunde 20.29 iliyowekwa Matsumoto mwaka 2001.Hii ndio rekodi ya sasa ya U20 ya Asia alishinda medali nyingi na timu ya Japani ya mbio za kupokezana mita 4 × 100. [1]

  1. "Profile". World Athletics. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yusuke Omae kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.