Medali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Medali mbalimbali. Utepe unatumika kuivalisha.

Medali (kutoka Kiingereza: medal) ni kipande cha metali anachopewa mshindi katika mashindano ya mchezo au mtu anayepongezwa kwa mafanikio. Watu hupewa medali kama tuzo kutokana na kufanikiwa katika jambo fulani. Thamani ya medali hutegemea na makubaliano ya tuzo husika: mtu huweza kupewa medali ya shaba, fedha, dhahabu n.k.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Osborne, Harold (ed), The Oxford Companion to the Decorative Arts, 1975, OUP, ISBN 0-19-866113-4
  • Stephen K. Scher, et al. "Medal." In Grove Art Online. Oxford Art Online, Subscription required, (accessed July 28, 2010).
  • Weiss, B. "Collection of Historical and Commemorative Medals". [1]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Louis Forrer, Biographical Dictionary of Medallists (Spink & Sons, 1904-1930) is an eight volume reference in English listing medallists through history.
  • Ulrich Thieme, Felix Becker, Allgemeines Lexicon der Bildenden Kùnstler von der Antike bis zur Gegenwart (Leipzig : 1907-1949) is a thirty six volume work in German that lists all artists without differentiating their specialty and medium like the Forrer work.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Medali kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.