Yussuf Kaiza Makame

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yussuf Kaiza Makame ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Chake Chake kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017