Yoshinori Ohsumi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tuzo Nobel.png
Yoshinori Ohsumi

Yoshinori Ohsumi (amezaliwa 9 Februari, 1945) ni mwanakemia kutoka nchi ya Japani. Anajulikana hasa kwa utafiti wake katika mchakato wa autofagia ambako mwili unavunja seli zisizotakiwa au zisizohitajika tena na kutumia molekuli zake kwa kujenga seli mpya.

Mwaka wa 2016 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba[1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. The Nobel Prize in Physiology or Medicine 2016. The Nobel Foundation (3 October 2016). Iliwekwa mnamo 3 October 2016.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

What is Autophagy? Archived 17 Oktoba 2016 at the Wayback Machine., By Dr Ananya Mandal, MD, tovuti ya medical-news.net 7 Oktoba 2014, iliangaliwa 23.10.2016

Tuzo Nobel.png Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yoshinori Ohsumi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.