Nenda kwa yaliyomo

Yinka Kudaisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yinka kudaisi
Amezaliwa 25 Agost1975
Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake mchezaji wa mpira wa miguu

Yinka Kudaisi (alizaliwa 25 Agosti 1975) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Nigeria ambaye amecheza kama beki kwenye klabu ya wanawake ya Stars Pelican na timu ya taifa ya Nigeria katika michuano ya Olimpiki mnamo mwaka 2004.[1]

  1. "Olympic Women's Football Tournaments Athens 2004 – Squad List: Nigeria (NGR)". FIFA. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 28 Januari 2013. Iliwekwa mnamo 2 Oktoba 2015. {{cite news}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yinka Kudaisi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.