Yamuna
Mandhari
| Chanzo | milima ya Himalaya katika jimbo la Uttarakhand |
| Mdomo | mto Ganga |
| Nchi | Uhindi |
| Urefu | km 1,376 |
| Kimo cha chanzo | mita 3,293 |
| Tawimito upande wa kulia | mito ya Chambal, Betwa, Ken, Sindh, Baghain |
| Tawimito upande wa kushoto | miro ya Hindon, Tons, Giri, Rishiganga, Hanuman Ganga, Sasur Khaderi |
| Mkondo | wastani m3 2,950 |
| Eneo la beseni | km2 366,223 |
| Miji mikubwa kando lake | Delhi, Mathura, Agra, Allahabad |

Yamuna (kwa Kihindi: यमुना, yamunā; pia: जमुना, Jamuna; kwa Kiurdu: جمنا) ni mto mkubwa huko Uhindi Kaskazini. Ni tawimto kubwa zaidi la mto Ganga.
Huanza kwenye milima ya Himalaya katika jimbo la Uttarakhand. Unaendelea katika majimbo ya Uhindi ya Haryana, eneo la mji mkuu Delhi na Uttar Pradesh. Mwishowe, kwenye mji wa Allahabad, inaishia katika mto Ganga baada ya mwendo wa kilomita 1,370.
Picha
[hariri | hariri chanzo]Tovuti za Nje
[hariri | hariri chanzo]- Jiografia ya Rigveda Ilihifadhiwa 15 Januari 2018 kwenye Wayback Machine.
- Mpango wa utekelezaji wa Yamuna Ilihifadhiwa 6 Oktoba 2007 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Yamuna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |