Yahia Belaskri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yahia Belaskri

Amezaliwa 1952
Oran French Algeria
Nchi Algeria
Kazi yake Mwandishi wa habari na riwaya


Yahia Belaskri (amezaliwa 1952) ni mwandishi wa habari wa Algeria, mwandishi wa riwaya na hadithi fupi. Yeye ndiye mwandishi wa riwaya nne na mpokeaji wa zawadi mbili za fasihi.

Maisha Binafsi[hariri | hariri chanzo]

Yahia Belaskri alizaliwa mnamo mwaka 1952.[1]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Belaskri alianza kufanya kazi kama mwandishi wa habari kwenye kituo cha redio kiitwacho Radio France Internationale Mwaka 2004.[1]

Belaskri ndiye mwandishi wa riwaya nne. Riwaya yake ya pili, Si tu cherches la pluie, elle vient den haut , ni kuhusu Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Algeria ya miaka ya 1990.[2] Riwaya yake ya tatu ni, Une longue nuit d’absence, inahusu Wahispania ambao walihama Algeria mnamo 1939.[3] Riwaya yake ya nne ni, Les fils du jour, ni msingi wa matokeo ya karibu ya French conquest of Algeria mnamo mwaka 1830-1847.[3]

Belasski alishinda tuzo ya "prix Ouest-Ufaransa - wasafiri wa Etonnants" katika tamasha la vitabu tonnants voyageurs huko Saint-Malo kutokana na kitabu kitwacho "Si tu cherches la pluie, elle vient d'en haut".[2] In 2015, he won the Prix littéraire Beur FM Méditerranée from Beur FM for Les fils du jour.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kigezo:Mbegu-MTU

  1. 1.0 1.1 "Yahia Belaskri". Bibliothèque nationale de France. Iliwekwa mnamo October 6, 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. 2.0 2.1 "L'Algérien Yahia Belaskri primé au festival Etonnants voyageurs", Le Monde, June 13, 2011. 
  3. 3.0 3.1 3.2 "Littérature - Algérie - Yahia Belaskri : "On invente la différence"", Le Point, May 23, 2015.