Jimbo la Montagnes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Montagnes)


Jimbo la Montagnes
Jimbo la Montagnes is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Montagnes
Jimbo la Montagnes

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 6°56′30″N 7°39′14″W / 6.94167°N 7.65389°W / 6.94167; -7.65389
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Montagnes
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,371,920[1]

Jimbo la Montagnes (kwa Kifaransa: District des Montagnes) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 2,371,920[1].

Makao makuu yako Man.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast)". Statoids.com. Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.