Wilaya ya Kongwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kongwa (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Dodoma.

Wilaya ya Kongwa ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41500[1].

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kongwa ilihesabiwa kuwa 309,973. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 443,867 [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-11-01. 
  2. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Kongwa - Mkoa wa Dodoma - Tanzania

Chamkoroma | Chitego | Chiwe | Hogoro | Iduo | Kibaigwa | Kongwa | Lenjulu | Makawa | Matongoro | Mkoka | Mlali | Mtanana | Ng'humbi | Ngomai | Njoge | Pandambili | Sagara | Sejeli | Songambele | Ugogoni | Zoissa


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kongwa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.