Wilaya ya Kilombero


Wilaya ya Kilombero ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 407,880.[1]
Makao makuu ya wilaya hiyo ni mji wa Ifakara, mji maarufu kwa utafiti wa ugonjwa wa malaria.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tanzania.go.tz/census. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
Viungo ya nje[hariri | hariri chanzo]
- Jiografia ya bonde la Kilombero Archived 23 Januari 2010 at the Wayback Machine.
![]() |
Kata za Wilaya ya Kilombero - Mkoa wa Morogoro - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Ching'anda | Chisano | Chita | Idete | Ifakara | Igima | Kalengakelo | Kamwene | Katindiuka | Kibaoni | Kiberege | Kidatu | Kisawasawa | Lipangalala | Lumemo | Mang’ula 'B' | Mang'ula | Masagati | Mbasa | Mbingu | Mchombe | Michenga | Mkula | Mlabani | Mlimba | Mngeta | Mofu | Msolwa Station | Mwaya | Namwawala | Sanje | Signal | Utengule (Kilombero) | Viwanja Sitini
|
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilombero kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |