Igima (Mlimba)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa kata nyingine yenye jina hili, tazama Igima (Njombe).

Igima ni kata mojawapo ya Wilaya ya Mlimba katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 22,336 [1].

Vijiji vyake ni: Mpofu, Ngajengwa, Igima.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Mlimba - Mkoa wa Morogoro - Tanzania

Ching'anda | Chisano | Chita | Idete | Igima | Kalengakelu | Kamwene | Masagati | Mbingu | Mchombe | Mlimba | Mngeta | Mofu | Namwawala | Uchindile | Utengule


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Igima (Mlimba) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno.