Wilaya ya Bunda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa wilaya za Bunda (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Wilaya ya Bunda ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 260,000 [1] na katika ile ya mwaka 2022, baada ya kumegwa, walihesabiwa 243,822 [2].

Makao makuu ya wilaya yapo mjini Bunda.

Misimbo ya posta wilayani ni 31501 hadi 31528. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tanzania.go.tz/census/census/districts/bunda. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  2. https://www.nbs.go.tz
Kata za Wilaya ya Bunda Vijijini - Mkoa wa Mara - Tanzania

Butimba | Chitengule | Hunyari | Igundu | Iramba | Kasuguti | Ketare | Kibara | Kisorya | Mihingo | Mugeta | Namhula | Nampindi | Nyamihyoro| Nansimo | Neruma | Nyamang'uta | Nyamuswa Salama


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Bunda kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.