Nenda kwa yaliyomo

Wido wa Acqui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanisa kuu la Acqui lililoanzishwa na Mt. Wido.

Wido wa Acqui (kwa Kiitalia: Guido; Melazzo, 1004 - Acqui Terme, 2 Juni 1070) anakumbukwa kama askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 1034 hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kuaga dunia[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90996
  2. Martyrologium Romanum
  • T.Gaino, Il Vescovo Guido in Acqui medioevale, Acqui T., Ed. Impressioni Grafiche, 2003, pp. 350;
  • P.Ravera-G.Tasca-V.Rapetti, I Vescovi della Chiesa di Acqui dalle origini al XX secolo. Con cenni storici sulla comunità cristiana ed il territorio diocesano, Acqui Ed. Impressioni Grafiche, 1997, pp. 149–156.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.