Wakaodai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wakaoda ni wafuasi wa dini ya Vietnam inayomuamini Mungu mmoja. Jina lake rasmi ni Đại Đạo Tam Kỳ Phổ Độ (Imani Kuu [kwa] Ukombozi wa Tatu wa Ulimwengu)

Ilianzishwa katika mji wa Tay Ninh mwaka 1926 kwa kuchanganya imani mbalimbali.

Wafuasi wanakadiriwa kuwa milioni 4-6.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.