Wahausa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanaosema Kihausa nchini Niger na Nigeria.

Wahausa ni watu wa Afrika wanaoishi Afrika Magharibi kati nchi za Niger na Nigeria.

Lugha yao ni Kihausa, moja kati ya lugha kubwa zaidi barani Afrika.


Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wahausa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.