Visiwa vya Andaman
Jump to navigation
Jump to search

Visiwa vya Andaman kutoka angani.
Visiwa vya Andaman ni funguvisiwa la Bahari ya Hindi. Kiutawala, sehemu kubwa iko chini ya Jamhuri ya India na sehemu ndogo chini ya Myanmar.

Eneo la wenyeji wa Andaman, lilivyokuwa kabla ya karne ya 18 na lilivyo leo.
Wakazi wake walibaki karne nyingi bila mawasiliano na watu wengine; hivyo wenyeji wana sifa za pekee upande wa jenetikia, ingawa siku hizi wakazi wengi ni walowezi na wahamiaji hasa kutoka India bara.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- India Home Department. The Andaman Islands: with notes on Barren Island. C.B. Lewis, Baptist Mission Press, 1859 read online or download
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- History & Culture. The Andaman Islands with destination quide
- Andaman Holiday Travels
- Andaman Islands Archived Julai 6, 2019 at the Wayback Machine.
- Andaman Tourism Site
- Beaches & Historical Monuments in Andaman
- Official Andaman and Nicobar Tourism Website
- Andaman District (official site)
- Andaman Islands Tourism
- Andaman & Nicobar Islands: Tourism Portal
- Andaman & Nicobar Islands: Destination Guide
- Andaman & Nicobar Islands: Tourism Guide
- Andaman Islands-A Travelogue
- Andaman Excursion
- Andaman and Nicobar Islands: Travel Information and Latest Updates Archived Novemba 27, 2015 at the Wayback Machine.
- Paradise Andaman
- Andaman Destination Guide
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Andaman kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |