Uwanja wa michezo wa mji wa Uyo
Uwanja wa michezo wa mji wa Uyo ni uwanja wenye matumizi mbalimbali uliopo Uyo, mji mkuu wa Jimbo la Akwa Ibom nchini Nigeria.
Uwanja huu unatumika zaidi kwa mechi za mpira wa miguu (soka) na ndio uwanja wa nyumbani wa timu ya Akwa United F.C. Pia ni kituo cha hafla za kijamii, kitamaduni, kisiasa, na kidini.[1][2] Sikukuu maarufu za kila mwaka kama Akwa Ibom Christmas Carols Festival inayoandaliwa na Serikali ya (Jimbo la Akwa Ibom) hutumia uwanja huu.[3][4]
Uwanja huu unapatikana karibu na soko kubwa la Uyo, linaloitwa Soko la Akpan Andem. Uwanja huo una uwezo wa kuchukua watu takribani 5,000.
Michezo mingi ya ligi za mitaa na mikutano ya kisiasa huko Uyo husherehekewa hapo.[5][6]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ editor (2019-05-02). Policemen Beat NLC Official in Akwa Ibom (en-US).
- ↑ Why Buhari Can’t Use Stadium For Campaign, By Akwa Ibom Govt (2018-12-24).
- ↑ admin (2017-12-21). Gospel Singers Storm Uyo Friday for A’Ibom Christmas Carol Festival (en-US).
- ↑ Magazine, WetinHappen (2018-11-26). #AKCarolsFest2018: AKWA IBOM CHRISTMAS CAROLS FESTIVAL RETURNS (en-US). Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-06-08. Iliwekwa mnamo 2021-06-08.
- ↑ Aity Dennis lights up Akwa Ibom State carols festival (en-US) (2018-12-27).
- ↑ Akwa Ibom, Bayelsa, Benue, Enugu, Ebonyi, Ondo, Rivers agree to pay minimum wage.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa mji wa Uyo kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |