Uwanja wa michezo wa Sokoine

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa michezo wa Sokoine ni uwanja wa michezo uliopo katika mkoa wa Mbeya nchini Tanzania unaomilikiwa na Chama cha Mapinduzi.[1]

Uwanja huu unatumika sana kwa ajili ya mchezo wa Mpira wa miguu na pia ni uwanja wa nyumbani wa timu ya Prisons FC na Mbeya City F.C. ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 20,000. Kwa mara ya kwanza uwanja huu ulikuwa ukijulikana kama Mapinduzi Stadium, lakini mwaka 1984 ulibadilishwa jina baada ya kifo cha aliekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Sokoine.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "CCM should facelift its venues before VPL starts", 17 August 2014. Retrieved on 10 August 2017. Archived from the original on 2018-02-28. 
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Sokoine kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.