Unyafuzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Unyafuzi
Mwainisho na taarifa za nje
SpecialtyEndocrinology Edit this on Wikidata

Unyafuzi, chirwa au kwashakoo ni aina kali ya utapiamlo inayosababishwa na ukosefu wa protini ya kutosha katika chakula.

Dalili ya unyafuzi ni upungufu wa uzito, kuchoka sana, na uvimbe wa tumbo.

Maana kwa kuzuia unyafuzi ni kula vyakula viliyo na protini, kwa mfano:

Nyama za aina mbalimbali (ng'ombe, kuku, mbuzi, samaki, maini na kadhalika), maharagwe, maziwa, na mayai.

Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Unyafuzi kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.